Quantcast
Channel: Social media – Vijana FM
Viewing all articles
Browse latest Browse all 17

Mapendekezo ya Change Tanzania kwa ajili ya Katiba Mpya!

$
0
0

[From 24th August 2013]

Asasi ya kiraia ya Change Tanzania leo walikusanyika British Council mjini Dar es Salaam, kama baraza la katiba, kwa ajili ya kujadili na kutoa mapendekezo yao kwa tume ya mabadiliko ya katiba. (Kwa maoni yote bofya hapa)

Mwezeshaji alikuwa ni mwanzilishi wa Change Tanzania, Maria Sarungi Tsehai.

Waliochangia mada ni:

  • Mkurugenzi Mtendaji wa Foundation for Civil Societies, John Ulanga
  • Mkurugenzi Mtendaji wa Sikika, Irenei Kiria
Kutoka kushoto, Azaveli Lwaitama, Irenei Kiria, Maria Sarungi Tsehai, Deo Balile.

Kutoka kushoto, Azaveli Lwaitama, Irenei Kiria, Maria Sarungi Tsehai, Deo Balile.

  • Mhadhiri wa chuo kikuu cha Tumaini na Mhadhiri mstaafu wa UDSM, Azaveli Lwaitama
  • Mhariri wa Jamhuri, Deodatus Balile
  • Mwanasheria wa Mahakama Kuu na mwanaharakati, Daniel Welwel
Maria Sarungi Tsehai akiwatambulisha wageni rasmi.

Maria Sarungi Tsehai akiwatambulisha wageni rasmi.

Mapendekezo yote yatatolewa wiki ijayo, ila kwa ufupi baadhi ya vitu vilivyojadiliwa ni yafuatayo:

  • Mawaziri wawajibishwe moja moja na sio kwa pamoja.
Irenei Kiria akiongelea uwajibikaji wa taasisi na viongozi kwa wananchi na kuoanisha mfumo wa uwajibishaji.

Irenei Kiria akiongelea uwajibikaji wa taasisi na viongozi kwa wananchi na kuoanisha mfumo wa uwajibishaji.

  • Uwajibikaji wa viongozi kupitia Sehemu ya pili ibara ya 92 (4), Baraza la mawaziri likimshauri rais vibaya katiba lionyeshe kwamba wanatakiwa kuwajibishwa.
  • Spika wa bunge asiwe mwanachama wa chama chochote cha siasa.
  • Uraia na uraia mbili.
Deodatus Balile akiongelea Uhuru wa kutoa na kupata habari.

Deodatus Balile akiongelea Uhuru wa kutoa na kupata habari.

Maswali kutoka kwa wadau wa Change Tanzania.

Maswali kutoka kwa wadau wa Change Tanzania.

Mijadala yaliendelea kabla ya kufika muafaka.

Mijadala yaliendelea kabla ya kufika muafaka.

Mijadala yaliendelea kabla ya kufika muafaka.

Mijadala yaliendelea kabla ya kufika muafaka.

Prof. Azaveli Lwaitama

Dr. Azaveli Lwaitama

 

This post was originally posted at Profesy’s Version on 24th August 2013.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 17

Latest Images

Trending Articles



Latest Images